Jumanne, 3 Machi 2015

Dereva na masai

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500, Masai akachukua tax wakati wa kurudi, walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi,

Masai: we dureva? Naulisa Ng’ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng’ombe ghali Masai,
Masai: kwanini Ng’ombe ghali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ghali?
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku,
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa gari kubwa nikalitoa sh. 500 hii yako ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha ibia morani…

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni