Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500, Masai akachukua tax wakati wa kurudi, walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi,
Masai: we dureva? Naulisa Ng’ombe na mbusi ipi ngali?
Dereva: Ni ng’ombe ghali Masai,
Masai: kwanini Ng’ombe ghali?
Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi
Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ghali?
Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku,
Masai: Umepata..
Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa gari kubwa nikalitoa sh. 500 hii yako ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha ibia morani…
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni