Jumatatu, 2 Machi 2015

Ingekuwa ni mkeo ungemfanya nini?

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!

MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
MUME; Nilikua chooni jirani na ofisi najisaidia.
MKE; Loh maskini, familia zao itakuaje?
MUME; Watalipwa million 100 kila mfiwa.
MKE; KWA HASIRA, Ona sasa na wewe kunya kunya kwako umetukosesha mihela.. Ungeenda kunya akhera.

Je ungekuwa wewe ungemfanya nini huyo mwanamke?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni