Jumatano, 18 Machi 2015

Wadada wanashida

Taja vyakula vitatu unavyovipenda
Mwalimu katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwanza,
Taja vyakula vitatu ambavyo ukienda hotelini umelipiwa utapenda kula (marks 1)

WAVULANA wakajaza; wali, ugali, mihogo.

WADADA wakajaza; burger, pizza, egg chop.

Swali la 2: Eleza jinsi ya kupika kila chakula ulichotaja hapo juu. (marks 99)

wacha wadada waanze kuhangaika kukata majibu ya mwanzo!!!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni